Chris ambae alikua akituhumiwa kumpiga ngumi LIZIANE GUTIERREZ ambae alimtuhumu Chris kumshambulia na kumsababishia maumivu wakiwa kwenye sherehe huko California kwenye ukumbi wa Palms Casino Resort mnamo tarehe 2 mwezi wa huu.
LIZIANE GUTIERREZ
CHRIS BROWN Hata hivyo hii si mara ya kwanza kwa mwanamuziki huyo kupata matatizo kama hayo,ikumbukwe mwaka 2009 alifungwa kifungo cha miaka sita kabla ya kubadilishiwa baadae na kuwa kifungo cha nje baada ya kupatikana na hatia ya kufanyia shambulizi la kumpiga na kumjeruhi vibaya aliekua mpenzi wake RIHANNA.

